SAMATTA MKUTANONI LEO KUHUSU MECHI YA STARS NA BOTSWANA
Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta (kushoto) akiwa na Msaidizi wake, Jonas Mkude wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari hoteli ya Urban Rose, eneo la Kisutu, Dar es Salaam leo kuelekea mchezo wa kirafiki wa kimataifa na Botswana kesho Uwanja wa Taifa, Jijini
Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga (kulia) akimsikiliza kocha Muingereza wa Botswana, Petter Buffer wakati anazungumza na Waandishi wa Habari
Nahodha mwingine Msaidizi wa Taifa Stars, Himid Mao akiwa na kocha wa makipoa, Patrick Mwangata
Kocha Mayanga na vijana wake wote wamesema wako tayari kwa mchezo wa kesho na wanatarajia ushindi
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment