Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ureno dakika za 36 na 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary usiku wa jana Uwanja wa Sport Lisboa e Benfica, da Luz kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Kundi. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andre Silva dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment