Cheikh Ndoye wa Senegal (kushoto) akiudhibiti mpira dhidi ya Ogenyi Onazi wa Nigeria (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Hive, Barnet, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Senegal ilitangulia kwa bao la Moussa Sow dakika ya 54 kabla ya Kelechi Iheanacho kuisawazishia Nigeria dakika ya 83 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment