Cristiano Ronaldo akiifungia bao timu yake ya taifa, Ureno dakika ya18 jana ikifungwa 3-2 na Sweden Uwanja wa Maritimo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andreas Granqvist aliyejifunga dakika ya 34, wakati ya Sweden yalifungwa na Viktor Claesson mawili dakika za 57 na 76 na Joao Cancelo aliyejifunga dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment