Cristiano Ronaldo akiifungia bao timu yake ya taifa, Ureno dakika ya18 jana ikifungwa 3-2 na Sweden Uwanja wa Maritimo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andreas Granqvist aliyejifunga dakika ya 34, wakati ya Sweden yalifungwa na Viktor Claesson mawili dakika za 57 na 76 na Joao Cancelo aliyejifunga dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment