James Rodriguez (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Colombia bao la kwanza dakika ya 20 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Ecuador jana Uwanja wa Olimpico Atahualpa mjini Quito kwenuye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika. Bao la pili lilifungwa na Juan Cuadrado PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment