Kiungo wa Manchester City, David Silva (kulia) akipiga shuti kuifungia bao la kwanza Hispania dakika ya 13 usiku wa jana katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Israel kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Vitolo dakika ya 45 na ushei, Diego Costa na Isco wakati la Israel lilifungwa na Lior Refaelov dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment