• HABARI MPYA

    Wednesday, November 02, 2016

    OZIL AIPELEKA ARSENAL 16 BORA LIGI YA MABINGWA

    Kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi ikiilaza Ludogorets 3-2 katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifunga na  Granit Xhaka na Ilivier Giroud, wakati ya Ludogorets yalifungwa na Jonathan Cafu na Claudiu Keseru PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OZIL AIPELEKA ARSENAL 16 BORA LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top