Muargentina Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote dakika za 24 na 55 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Celtic, Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Barca imesonga mbele pamoja na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Best tries of the 2024 Six Nations
-
Watch the best tries of the Six Nations 2024 tournament.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment