Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza kwa penalti Real Madrid dakika ya tano katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon leo Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga na la pili dakika ya 18 wakati la Gijon lilifungwa na Carlos Carmona dakika ya 35, huku Duje Cop akiikosesha bao la kusawazisha timu yake kwa kukosa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy great thought he was going to die when he saved teen from drowning in
a rip: 'I'm not going to make it'
-
Former Manly rugby league star Charlie Haggett has revealed how he thought
he'd drown at a NSW beach after saving a distressed boy who was caught in a
dang...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment