Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza kwa penalti Real Madrid dakika ya tano katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon leo Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga na la pili dakika ya 18 wakati la Gijon lilifungwa na Carlos Carmona dakika ya 35, huku Duje Cop akiikosesha bao la kusawazisha timu yake kwa kukosa penalti dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment