Ben Woodburn akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Leeds United kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England na kuweka rekodi ya mchezaji mdogo zaidi (miaka 17 na siku 45) kuwahi kuwafungia bao Wekundu hao. Bao la kwanza la Liverpool ambayo sasa inakwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo, lilifungwa na Divock Origi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks Trade Rumors: Victor Oladipo 'Remains in Play' for NY Ahead of Deadline
-
Houston Rockets guard Victor Oladipo reportedly "remains in play" for the
New York Knicks ahead of the 2021 NBA trade deadline on March 25...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment