Ben Woodburn akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Leeds United kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England na kuweka rekodi ya mchezaji mdogo zaidi (miaka 17 na siku 45) kuwahi kuwafungia bao Wekundu hao. Bao la kwanza la Liverpool ambayo sasa inakwenda Nusu Fainali ya michuano hiyo, lilifungwa na Divock Origi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment