Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza akitokea benchi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland leo Uwanja wa Anfield. Bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti, baada ya Sadio Mane kuangushwa. Na kwa matokeo hayo Liverpool inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikifikisha pointi 30 sawa na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment