Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza akitokea benchi katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Sunderland leo Uwanja wa Anfield. Bao la pili lilifungwa na James Milner kwa penalti, baada ya Sadio Mane kuangushwa. Na kwa matokeo hayo Liverpool inarejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikifikisha pointi 30 sawa na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment