Wachezaji wa Monaco wakishangilia baada ya kuifunga Tottenham Hotspur mahal 2-1 katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana nchini Ufaransa. Mabao ya Monaco yalifungwa na Djibril Sidibe dakika ya 48 na Thomas Lemar dakota ya 53, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 52. Kwa matoneo haya Spurs inakuwa time ya kwanza ya England kutolewa Ligi ya Mabingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England beat New Zealand in T20 series opener
-
Heather Knight's 63 from 39 balls set up a comfortable win for England in
the first T20 against New Zealand.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment