Wachezaji wa Monaco wakishangilia baada ya kuifunga Tottenham Hotspur mahal 2-1 katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana nchini Ufaransa. Mabao ya Monaco yalifungwa na Djibril Sidibe dakika ya 48 na Thomas Lemar dakota ya 53, wakati la Spurs lilifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 52. Kwa matoneo haya Spurs inakuwa time ya kwanza ya England kutolewa Ligi ya Mabingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alex Ovechkin Fined $5K for Spearing Bruins' Trent Frederic in Groin
-
Washington Capitals captain Alex Ovechkin was fined $5,000 by the NHL on
Thursday for the action he committed on Boston Bruins forward Trent
Frederic that ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment