Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta akiruka kwa furaha wakati wa mazoezi ya mwisho ya klabu yake, KRC Genk kujiandaa na mchezo wa Kundi F Europa League usiku wa leo Uwanja wa Luminus Arena mjini Genk
Samatta akiwaongoza wenzake kwa uchangamfu
Samatta anaonekana yuko vizuri kuelekea kwenye mchezo huo
Genk inahitaji ushindi leo ili kujihakikishia kwenda hatua ya mtoano
Samatta anatarajiwa kuanza leo katika kikosi cha kwanza cha Genk
Samatta akiwaongoza wenzake kwa uchangamfu
0 comments:
Post a Comment