• HABARI MPYA

    Friday, November 25, 2016

    BINTI HUYU WA KIBONGO ATAKUWA MISS AFRIKA KESHO?

    Julitha Kabethe, Mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Miss Afrika, linalotarajiwa kufanyika kesho mjini Calabar, Cross River, Nigeria akiwa kwenye bwawa la kuogelea mjini Calabar jana wakati wa usaili wa mwisho kabla ya shindano
    Julitha Kabethe akiwa na vazi la Kimasai, kabila maarufu nchini Tanzania
    Julitha Kabethe yuko tayari kuchuana na vimwana wengine 17 barani kuwania taji la Miss Afrika kesho
    Julitha akiwa na washiriki wenzake
    Julitha na washiriki wenzake

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BINTI HUYU WA KIBONGO ATAKUWA MISS AFRIKA KESHO? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top