• HABARI MPYA

    Wednesday, October 19, 2016

    AUBAMEYANG APIGA LA KWANZA DORTMUND YASHINDA 2-1 URENO

    Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji, Sporting Lisbon ya Ureno katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao lingine la Dortmund lilifungwa na Julian Weigl wakati la wenyeji lilifungwa na Bruno Cesar PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AUBAMEYANG APIGA LA KWANZA DORTMUND YASHINDA 2-1 URENO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top