Nyota Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la Liverpool limefungwa na kinda Curtis Jones dakika ya 89 na kwa ushindi huo, Liverpool ambao tayari ni mabingwa, wanafikisha pointi 89 baada ya kucheza mechi 33, wakati Aston Villa inabaki nafasi ya 19 na pointi zake 27 baada ya kucheza mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's dramatic defeat exposed a negative pattern Mikel Arteta must fix
ASAP, writes ISAAN KHAN - and here's how pondering Martin Odeegard can be
better used by the Gunners boss
-
ISAAN KHAN: Buendia's last-minute strike propelled Aston Villa to just
three points behind the Premier League leaders, ending the Gunners'
18-match unbeate...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment