Nyota Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 71 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la Liverpool limefungwa na kinda Curtis Jones dakika ya 89 na kwa ushindi huo, Liverpool ambao tayari ni mabingwa, wanafikisha pointi 89 baada ya kucheza mechi 33, wakati Aston Villa inabaki nafasi ya 19 na pointi zake 27 baada ya kucheza mechi 33 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Masters 2021: Hideki Matsuyama leads from Justin Rose, Xander Schauffele at Augusta National
-
Japan's Hideki Matsuyama shoots a 65 on Saturday to take a four-shot lead
into the final day of the Masters, with England's Justin Rose tied for
second.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment