David McGoldrick akipongezwa na wachezaji wenzake wa Sheffield United baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 na 77 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Chelsea, bao lingine likifungwa na Oli McBurnie dakika ya 33 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Bramall Lane. Kwa ushindi huo, Sheffield United inafikisha pointi 54 baada ya kucheza mechi 35 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya sita, ikiwazidi pointi mbili Wolverhampton Wanderers, wakati Chelsea inabaki nafasi ya tatu na pointi zake 60 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MTN MoMoPay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment