Jay Rodriguez akishangilia baada ya kuifungia Burnley bao la kusawazisha dakika ya 69 katika sare ya 1-1 na Liverpool iliyotangulia kwa bao la Andy Robertson dakika ya 34 Uwanja wa Anfield. Kwa sare hiyo, Liverpool ambao ni mabingwa tayari wanafikisha pointi 93 baada ya kucheza mechi 35, wakati Burnley inafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 35 pa na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bournemouth 'agree short-term contract with free agent Jack Wilshere'
-
The former Arsenal midfielder, who left West Ham earlier this season, has
been training with the Cherries in recent weeks and has impressed manager
Jason T...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment