Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 56 ikiwalaza Espanyol 1-0 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou ambao kila limpoteza mchezaji mmoja kwa kadi nyekundu. Barcelona inafikiisha pointi 76 baada ya kucheza mechi 35, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid yenye pointi moja zaidi na mechi mkononi, wakati Espanyol inaendelea kushika mkia na pointi zake 24 za mechi 35 sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment