• HABARI MPYA

    Tuesday, July 14, 2020

    REAL MADRID YASHINDA 2-1 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA LA LIGA

    Karim Benzema akishangilia baada ya kuifunga Real Madrid bao la pili dakika ya 16 kufuatia Ferland Mendy kufunga la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Granada ambao bao lao lilifungwa na Darwin Marchis dakika ya 50 Uwanja wa Nuevo Los Carmenes. Ushindi huo unaifanya Real Madrid itanue tena uongozi wake ikifikisha pointi 83 na sasa inawazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 36, wakati Granada inabaki nafasi ya 10 na pointi zake 50 za mechi 36 
      

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YASHINDA 2-1 NA KUZIDI KUUKARIBIA UBINGWA LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top