Karim Benzema akishangilia baada ya kuifunga Real Madrid bao la pili dakika ya 16 kufuatia Ferland Mendy kufunga la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Granada ambao bao lao lilifungwa na Darwin Marchis dakika ya 50 Uwanja wa Nuevo Los Carmenes. Ushindi huo unaifanya Real Madrid itanue tena uongozi wake ikifikisha pointi 83 na sasa inawazidi pointi nne mabingwa watetezi, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 36, wakati Granada inabaki nafasi ya 10 na pointi zake 50 za mechi 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch Shohei Ohtani get introduced as a Dodger for the first time by Brian
Cranston at Dodger Stadium on Opening Day amid a betting scandal and the
firing of his former interpreter Ippei Mizuhara
-
Los Angeles Dodgers star Shohei Ohtani tried to put on a happy face as he
was introduced as a member of his new team for the first time amid chaos
off the ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment