Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders' Maxx Crosby, Rams' Puka Nacua Join Jordan Brand's Roster of Elite
Athletes
-
Las Vegas Raiders defensive end Maxx Crosby and Los Angeles Rams wide
receiver Puka Nacua are the newest members of Jordan Brand's expansion into
the NFL. ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment