Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Charlton 'devastated' as fan dies following medical emergency that led to
Championship match being abandoned
-
The match halted 12 minutes in as emergency staff dealt with the situation
in the lower tier of the Covered End. Charlton have confirmed the sad news
that ...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment