Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 73 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa San Mames Barria. Real Madrid inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 34 na sasa inaendelea kuongoza La Liga kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Barcelona ambao usiku huu wanamenyana na Villarreal Uwanja wa de la Cerámica PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sekamana steps down as Ferwafa president
-
Rtd Brig. General, Jean-Damascène Sekamana has resigned from his position
as the President of the Rwanda Football Federation (FERWAFA).
The development w...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment