Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St. James' Park. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na beki Mholanzi Virgil van Dijk dakika ya 38 na mshambuliaji Mbelgiji Divock Origi dakika ya 59 na kwa ushindi huo mabingwa hao wanamaliza na pointi 99 wakiwazidi pointi 18 Manchester City waliomaliza nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment