• HABARI MPYA

    Sunday, July 26, 2020

    LIVERPOOL YAMALIZA NA USHINDI WA 3-1 DHIDI YA NEWCASTLE UNITED

    Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St. James' Park. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na beki Mholanzi Virgil van Dijk dakika ya 38 na mshambuliaji Mbelgiji Divock Origi dakika ya 59 na kwa ushindi huo mabingwa hao wanamaliza na pointi 99 wakiwazidi pointi 18 Manchester City waliomaliza nafasi ya pili 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAMALIZA NA USHINDI WA 3-1 DHIDI YA NEWCASTLE UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top