Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus, yote kwa penalti dakika za 55 na 90 ikilazimishwa sare ya 2-2 na Atalanta ambayo mabao yake yalifungwa na Daniel Zapata dakika ya 16 na Ruslan Malinovskiy dakika ya 80 katika mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijini Torino. Pamoja na sare hiyo, Juventus inaendelea kuongoza Serie A kwa pointi zake 76, ikifuatiwa na Lazio 68 na Atalanta 67 baada ya wote kucheza mechi 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Brian Daboll to Stay with Bills After Brandon Staley Hired by Chargers
-
Buffalo Bills offensive coordinator Brian Daboll will reportedly stay with
the team in 2021 after the Los Angeles Chargers hired Rams defensive
coordinator...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment