Wachezaji wa Simba Queens wakifurahia ushindi wa 5-1 dhidi ya Yanga Princess kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba Queens yalifungwa na Mwanahamisi Omary 'Gaucho' dakika ya 32 na 75, Opa Clement dakika ya 65 na 82 na Joel Bukuru dakika ya 69, wakati bao pekee la Yanga Princess lilifungwa na Joel Nesri dakika ya 35
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment