Jamie Vardy akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazsisha Leicester City dakika ya 84 ikitoa sare ya 1-1 na Arsenal iliyotangulia kwa bao la Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 21 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Arsenal ilimaliza pungufu baada ya Eddie Nketiah kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 74, dakika nne tu tangu aingie kuchukua nafasi ya Alexandre Lacazette. Leicester inafikisha pointi 59 baada ya sare hiyo katika mchezo wa 34 na sasa inashuka hadi nafasi ya nne ikizidiwa pointi moja na Chelsea, wakati Arsenal inayofikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 34 pia inabaki nafasi ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Erling Haaland opens the scoring just FIVE minutes into Turf Moor clash
as Pep Guardiola's side look to leapfrog Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Burnley host Manchester City at Turf Moor.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment