• HABARI MPYA

    Saturday, July 11, 2020

    SIMON MSUVA ANAVYOJIFUA KWA BIDII KUJIWEKA FITI ZAIDI KWA AJILI YA LIGI YA MOROCCO


    Kiungo mshambuliaji wa Difaa Hassan El-Jadidi, Simon Happygod Msuva akiwa ameinua chuma kufanya mazoezi kujiandaa na Ligi Kuu ya Morocco inayotarajiwa kuanza tena mwishoni mwa mweszi huu baada ya kusimama tangu Machi kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 19 
    Hapa Simon Msuva akiwa na Mtanzania mwenzake, beki Nickson Kibabage ambaye wanacheza naye timu hiyo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMON MSUVA ANAVYOJIFUA KWA BIDII KUJIWEKA FITI ZAIDI KWA AJILI YA LIGI YA MOROCCO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top