Arturo Vidal akipogezwa na Lionel Messi baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji, Real Valladolid 1-0 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 36, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid wanaoendelea kuongoza kwa pointi moja zaidi wakiwa pia wana mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Erling Haaland opens the scoring just FIVE minutes into Turf Moor clash
as Pep Guardiola's side look to leapfrog Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Burnley host Manchester City at Turf Moor.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment