Arturo Vidal akipogezwa na Lionel Messi baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji, Real Valladolid 1-0 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 36, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid wanaoendelea kuongoza kwa pointi moja zaidi wakiwa pia wana mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment