Arturo Vidal akipogezwa na Lionel Messi baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji, Real Valladolid 1-0 katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 36, ingawa inabaki nafasi ya pili nyuma ya Real Madrid wanaoendelea kuongoza kwa pointi moja zaidi wakiwa pia wana mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: 76ers Fans Chant 'KD Sucks' During Win vs. Nets
-
Philadelphia fans may want to be careful what they wish for. As the
Philadelphia 76ers were putting the finishing touches on a 123-117 victory
over the...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment