Kinda wa England, Mason Mount akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea kabla ya Olivier Giroud kufunga la pili, yote katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza The Blues wakiichapa 2-0 Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Chelsea inafikisha pointi 66 na kumaliza nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu, ikizidiwa wastani wa mabao tu na Manchester Cty iliyomaliza nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment