Kinda wa England, Mason Mount akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Chelsea kabla ya Olivier Giroud kufunga la pili, yote katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza The Blues wakiichapa 2-0 Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijin London. Chelsea inafikisha pointi 66 na kumaliza nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu, ikizidiwa wastani wa mabao tu na Manchester Cty iliyomaliza nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment