Toby Alderweireld akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 81 ikiwalaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Arsenal ilitangulia kwa bao la Alexandre Lacazette dakika ya 16, kabla ya Son Heung-Min kuisawazishia Tottenham dakika ya 19 na kwa ushindi huo, Spurs inafikisha pointi 52 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya nane, sasa ikiwazidi The Gunners pointi mbili baada ya timu zote kucheza mechi 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Newcastle star is named manager of new UAE side Al Qabila ahead of
their first top flight season in Dubai as the the club tease arrival of
'legendary' ex-defender
-
The club released a video on TikTok telling fans that they would be
unveiling their new head coach, who they said was a 'legend' whose
experience was 'unma...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment