Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa 2-1 na Osasuna kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou, hivyo kuvuliwa rasmi ubingwa kufuatia wapinzani wao, Real Madrid kushinda 2-1 dhdi ya Villarreal. Mabao ya Osasuna leo yamefungwa na Jose Arnaiz dakika ya 15 na Roberto Torres dakika ya 90 na ushei, wakati Messi alifunga la Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Garcia Calls Out Gervonta Davis for Fight After Devin Haney Upset:
'Come See Me'
-
Ryan Garcia is setting his sights on his next challenge days after his
shocking upset of Devin Haney. He called out Gervonta "Tank" Davis on
Tuesday and said…
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment