• HABARI MPYA

    Monday, January 13, 2020

    MAKOCHA WAPYA YANGA SC WAPEWA MIKATABA YA MWAKA MMOJA NA NUSU KILA MMOJA

    Kocha Mkuu mpya wa Yanga SC, Mbelgiji Luc Eymael (kulia) na Kocha wa Mazoezi ya Utimamu wa Mwili (Fitness) Riedoh Berdien kutoka Afrika Kusini wakiwa wameshika mikataba yao pamoja na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Dk. Mshindo Msolla (wa pili kushoto) baada ya kusaini mikataba ya kuitumikia klabu hiyo kwa mwaka mmoja na nusu kila mmoja 



    Riedoh Berdien na Luc Eymael wamewahi kufanya naye pamoja katika klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini kwa mafanikio
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAKOCHA WAPYA YANGA SC WAPEWA MIKATABA YA MWAKA MMOJA NA NUSU KILA MMOJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top