Nahodha Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika ya nne na 54 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya timu ya kocha Mreno, Jose Mourinho yamefungwa na Lucas Moura dakika ya tisa, Son Heung-Min dakika ya 32 na Moussa Sissoko dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Teenagers killed in Tesla crash
-
Two teenagers have died and a third was critically injured when a Tesla
crashed into a tree.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment