Dominic Calvert-Lewin akishangilia baada ya kuifungia Everton mabao mawili dakika ya 49 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Everton limefungwa na Richarlison dakika ya tano, wakati la Chelsea limefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks' Josh Hart Responds to 76ers' Reed: 'Don't Give a F--k About What He
Said'
-
After Paul Reed made himself public enemy No. 1 for the New York Knicks
leading into their playoff matchup with the Philadelphia 76ers, Josh Hart
had a frank…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment