• HABARI MPYA

    Saturday, December 07, 2019

    CHELSEA YACHARAZWA 3-1 NA EVERTON GOODISON PARK

    Dominic Calvert-Lewin akishangilia baada ya kuifungia Everton mabao mawili dakika ya 49 na 84 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park. Bao lingine la Everton limefungwa na Richarlison dakika ya tano, wakati la Chelsea limefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 52 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YACHARAZWA 3-1 NA EVERTON GOODISON PARK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top