Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London wakitoka kufungwa mfululizo na Manchester City and West Ham. Mabao ya Chelsea yalfungwa na Tammy Abraham dakika ya 24 na Mason Mount dakika ya 48, wakati la Villa lilifungwa na Mahmoud Hassan 'Trezeguet' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
While his teammates went berserk in the changerooms, Pat Cummins shared a
special moment with his son after winning the Ashes - and his wife got in
on the act too
-
Heartwarming scenes erupted after Australia claimed a nervy victory against
England at the Adelaide Oval on Sunday.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment