Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London wakitoka kufungwa mfululizo na Manchester City and West Ham. Mabao ya Chelsea yalfungwa na Tammy Abraham dakika ya 24 na Mason Mount dakika ya 48, wakati la Villa lilifungwa na Mahmoud Hassan 'Trezeguet' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FCF 2021 Results: Johnny Manziel Sits with Injury; Beasts Now 3-0 After Week 3
-
Week 3 of Fan Controlled Football began with the news that Johnny Manziel
would be unable to suit up for the Zappers and ended with his team earning
its fi...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment