Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jacksonville Jaguars hand huge $60 MILLION extension to star wide receiver
Jakobi Meyers six weeks after trading for him
-
The Jags, who have gone 5-1 since the wide receiver's arrival in Florida,
risked losing him into free agency at the end of the season, but have now
tied hi...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment