Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag insists Man United will 'move on' after Alejandro Garnacho
apologises for liking critical social media posts... but admits the winger
has 'to learn a lot'
-
Alejandro Garnacho has apologised for the social media 'likes' that led to
him being reprimanded by Manchester United manager Erik ten Hag.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment