Raheem Sterling akipongezwa na mchezaji mwenzake, Fernandinho (kushoto) baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 57 ambalo linakuwa la nane kwake msimu huu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Ilkay Gundogan dakika ya 79 wakati la Bournemouth limefungwa na Callum Wilson dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment