Bondia Mmarekani, Deontay Wilder 'Bronze Bomber' akiondoka kurejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha mpinzani wake, Tyson Fury 'Gipsy King' katika raundi ya 12 Alfajiri ya leo ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, Marekani. Hata hivyo, Muingereza Fury aliyecheza vizuri, aliinuka na kumalizia pambano na matokeo yakawa droo, Wilder aliyemuangusha mpinzani wake raundi ya tisa pia anabaki na mkanda wake wa uzito wa juu wa WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vitor Pereira Withdraws from Consideration as Everton's Next Manager
-
Vitor Pereira has said he will not be taking the reins at Everton as the
new Toffees manager, with the former Porto coach withdrawing as a potential
candid...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment