Bondia Mmarekani, Deontay Wilder 'Bronze Bomber' akiondoka kurejea kwenye kona yake baada ya kumuangusha mpinzani wake, Tyson Fury 'Gipsy King' katika raundi ya 12 Alfajiri ya leo ukumbi wa Staples Center mjini Los Angeles, Marekani. Hata hivyo, Muingereza Fury aliyecheza vizuri, aliinuka na kumalizia pambano na matokeo yakawa droo, Wilder aliyemuangusha mpinzani wake raundi ya tisa pia anabaki na mkanda wake wa uzito wa juu wa WBC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephanie Sparks dead at 50: Former Golf Channel host, USA Curtis Cup and
LPGA player passes away
-
Stephanie Sparks, the host of Golf Channel's 'Big Break', passed away last
week at age 50. Sparks was an All-American college golfer at Duke and
hosted sev...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment