Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's Ethan Nwaneri in talks for Ligue 1 loan move, Chelsea join PSG in
race for Julian Alvarez - and Kobbie Mainoo makes Man United U-turn:
TRANSFER WINDOW WATCH
-
The transfer window is open and here are today's developments from Daily
Mail Sport's SIMON JONES, including Chelsea's interest in former Man City
man Juli...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment