Danny Welbeck akiwa amebewa kwenye machella kutolewa nje kabla ya kukimbizwa hospitali kufuatia kuumia jana Arsenal ikilazimishwa sare ya 0-0 na Sporting Lisbon ya Ureno katika mchezo wa Kundi E Europa League jana Uwanja wa Emirates.
Welbeck aliumia enka dakika ya 25 tu na akatibiwa kwa dakika tano kabla ya kukimbizwa hospitali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Welbeck aliumia enka dakika ya 25 tu na akatibiwa kwa dakika tano kabla ya kukimbizwa hospitali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment