Olivier Giroud (kulia) akiifungia Chelsea bao pekee dakika ya 52 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, BATE kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League Uwanja wa Belarus Arena mjini Belarus jana, hilo likiwa bao lake la kwanza katika miezi mitano na kuipeleka The Blues hatua ya 32 Bora ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'We suffered together' - Amorim changes style as Man Utd win
-
Manchester United head coach Ruben Amorim was rewarded for a change in
style and formation with a hard-fought win over Newcastle in the Premier
League.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment