• HABARI MPYA

    Friday, November 09, 2018

    GIROUD AIPELEKA CHELSEA 32 BORA UEFA EUROPA LEAGUE

    Olivier Giroud (kulia) akiifungia Chelsea bao pekee dakika ya 52 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, BATE kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League Uwanja wa Belarus Arena mjini Belarus jana, hilo likiwa bao lake la kwanza katika miezi mitano na kuipeleka The Blues hatua ya 32 Bora ya michuano hiyo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD AIPELEKA CHELSEA 32 BORA UEFA EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top