Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga dakika ya 90 akimalizia pasi ya Sergi Roberto kuipatia Barcelona bao la ushindi ikiwalaza wenyeji, Rayo Vallecano 3-2 katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Rayo Vallecano mjini Vallecas Teresa Rivero, Madrid. Hilo lilikuwa bao la pili Suarez kufunga jana, baada ya lingine dakika ya 11akimalizia pasi ya Jordi Alba, huku bao la lingine la Barca likifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 87 na mabao ya Rayo Vallecano yalifungwa na Jose Angel Pozo dakika ya 35 na Alvaro Garcia dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as the Blues are without keyman Estevao Willian for their trip to
St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates a Newcastle host Chelsea at St James' Park in the Premier League.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment