Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza Raheem Sterling baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na ushei na 67 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Wesley Hoedt aliyejifunga dakika ya sita, Sergio Aguero dakika ya 12 ambalo linakuwa bao lake la 150 Ligi Kuu ya England, David Silva dakika ya 18 na Leroy Sane dakika ya 90 na ushei, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid attacker courted by Man City, Bayern and Liverpool amid
resurgent form
-
Rodrygo Goes is finally seeing the light at the end of the tunnel. After a
challenging start to the season defined by a 32-game goal drought, the
Brazilian...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment