Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza Raheem Sterling baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 na ushei na 67 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Wesley Hoedt aliyejifunga dakika ya sita, Sergio Aguero dakika ya 12 ambalo linakuwa bao lake la 150 Ligi Kuu ya England, David Silva dakika ya 18 na Leroy Sane dakika ya 90 na ushei, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City's Double Treble quest could still disintegrate into nothing after
penalty heartbreak against Real... Pep Guardiola must rally his troops -
but a crucial week has just got bigger, writes JACK GAUGHAN
-
JACK GAUGHAN AT THE ETIHAD: Bernardo Silva did fire a warning earlier in
the week. A warning of what lay around the corner. A warning that a
potential Treb...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment