Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester sack Kirk after relationship allegation
-
Leicester City sack manager Willie Kirk, who had been suspended by the
Women's Super League club.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment