Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers' Frank Vogel Calls Anthony Davis' 50-Point Night 'One for the Ages'
-
Los Angeles Lakers big man Anthony Davis turned back the clock during his
team's 142-125 victory over the Minnesota Timberwolves on Sunday. "An
old-school ...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment