Cristiano Ronaldo wa Juventus akionyesha jezi aliyozawadiwa kabla ya mchezo wa Serie A na Cagliari jana Uwanja wa Allianz mjini Torino jana kwa kufikisha mechi 400 za klabu kwenye tano kubwa Ulaya. Juventus ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Paulo Dybala dakika ya kwanza, Filip Bradaric aliyejifunga dakika ya 38 na Juan Cuadrado dakika ya 87, wakati la Cagliari lilifungwa na Joao Pedro dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton says he's been visited by police 'four times in three days'
over his tweets and hits out at 'an attempt to intimidate me and my
family'... as he compares the UK to North Korea
-
The ex-Man City footballer has come under fire this year for his vile
tweets about women working in men's football, infamously claiming female
pundits 'sho...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment