Cristiano Ronaldo wa Juventus akionyesha jezi aliyozawadiwa kabla ya mchezo wa Serie A na Cagliari jana Uwanja wa Allianz mjini Torino jana kwa kufikisha mechi 400 za klabu kwenye tano kubwa Ulaya. Juventus ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Paulo Dybala dakika ya kwanza, Filip Bradaric aliyejifunga dakika ya 38 na Juan Cuadrado dakika ya 87, wakati la Cagliari lilifungwa na Joao Pedro dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lyon puts Australia on brink of Ashes win
-
England are on the brink of an Ashes series defeat after Australia's Nathan
Lyon broke their resistance late on the fourth day of the third Test in
Adelaide.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment