Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
REFA wa Tanzania Jonesia Rukyaa amechaguliwa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana.
Rukya amechaguliwa katika orodha ya Waamuzi wa katikati akiwa ni Mtanzania pekee katika michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Novemba 17 hadi Desemba 1, 2018.
Jumla ya Waamuzi wa katikati 13 wamechaguliwa na Waamuzi wasaidizi 12.
Jeonesia Rukyaa amechaguliwa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana
Fainali hizo pia zitatumika kupata timu zitakazowakilisha Afrika kwenye Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake zitakazofanyika mwakani nchini Ufaransa.
Washindi Watatu wa juu ndio watafuzu kucheza Kombe la Dunia.
REFA wa Tanzania Jonesia Rukyaa amechaguliwa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana.
Rukya amechaguliwa katika orodha ya Waamuzi wa katikati akiwa ni Mtanzania pekee katika michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Novemba 17 hadi Desemba 1, 2018.
Jumla ya Waamuzi wa katikati 13 wamechaguliwa na Waamuzi wasaidizi 12.
Jeonesia Rukyaa amechaguliwa kuchezesha Fainali za Afrika za Wanawake zitakazofanyika nchini Ghana
Fainali hizo pia zitatumika kupata timu zitakazowakilisha Afrika kwenye Fainali za Kombe la Dunia kwa Wanawake zitakazofanyika mwakani nchini Ufaransa.
Washindi Watatu wa juu ndio watafuzu kucheza Kombe la Dunia.
0 comments:
Post a Comment