Mashabiki wa Leicester City wakilia kwa huzuni wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu yao na Burnley jana Uwanja wa King Power mjini Leicester, ambao ulimalizika kwa sare ya 0-0 kufuatia msiba wa mmiliki wa klabu yao, Vichai Srivaddhanaprabha wiki mbili zilizopita baada ya Helikopta yake kuteketea kwa moto akitoka kutazama mchezo dhidi ya West Ham United Oktoba 27 uwanjani hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dak Prescott Rumors: QB's Stance on Contract Revealed as Cowboys Deny False
Narrative
-
Despite not having a sense of urgency to get a contract extension done with
Dak Prescott, the Dallas Cowboys aren't necessarily looking to move on from
their…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment