Mashabiki wa Leicester City wakilia kwa huzuni wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu yao na Burnley jana Uwanja wa King Power mjini Leicester, ambao ulimalizika kwa sare ya 0-0 kufuatia msiba wa mmiliki wa klabu yao, Vichai Srivaddhanaprabha wiki mbili zilizopita baada ya Helikopta yake kuteketea kwa moto akitoka kutazama mchezo dhidi ya West Ham United Oktoba 27 uwanjani hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Antetokounmpo returns to lead Bucks past Bulls
-
Giannis Antetokounmpo scores a game-high 29 points on his return from
injury as the Milwaukee Bucks end the Chicago Bulls' winning streak.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment