Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika ya 23 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Lika usiku wa jana Uwanja wa Abanca-Balaidos mjini Vigo. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 83 na Dani Ceballos dakika ya 90 na ushei, wakati ya Celta Vigo yamefungwa na Hugo Mallo dakika ya 61 na Brais Mendez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New England Patriots win AFC East for the first time since Tom Brady was QB
as Bills' reign ends with heartbreaking loss
-
The last time they won it was at the end of the Belichick-Brady era, with
the quarterback leaving for the Buccaneers at the end of that season. Since
then,...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment