Sergio Aguero akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 48 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya 12 na Ilkay Gundogan dakika ya 86, wakati la Man United limefungwa na Anthony Martial kwa penalti dakika ya 58, baada ya Romelu Lukaku kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtic show interest in Hibs midfielder Josh Mulligan as Edinburgh club
prepare to fend off bids
-
Celtic are among the growing list of clubs showing an interest in
highly-rated Hibs midfielder Josh Mulligan.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment