Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kufungwa 4-3 na Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camo Nou. Mabao ya Real Betis yamefungwa na 20' Junior Firpo dakika ya 20, Joaquin dakika ya 34, Giovani. Lo Celso dakika ya 71 na 83' Canales dakika ya 83, wakati ya Barcelona yamefungwa na Messi mawili, moja kwa penalti dakika ya 68 na lingine dakika ya 90 na ushei na Arturo Vidal dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo hints at return to Europe: Footballer, 40, provides new
update on his future as he insists he WILL reach 1,000 career goals after
picking up another award
-
Cristiano Ronaldo has hinted at a possible return to Europe as he
reiterated his ambition to reach 1,000 goals.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment