Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakifanya mazoezi leo Uwanja wa Kituo cha Michezo kwa Vijana cha Jakaya Kikwete (JKM Youth Centre), eneo la Gerezani, zamani Kidongo Chekundu, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Benin Novemba 11, mwaka huu
Mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib akimpita winga wa Difaa Hassan El Jadida ya Morocco, Simon Msuva
Yohana Oscar Nkomola (kulia) aliyepandishwa kutoka timu ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys akimiliki mpira
Wachezaji wakifanya mazoezi leo JKM Youth Centre
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Salum Mayanga (wa pili kushoto) akijadiliana na wasaidizi wake, Patrick Mwangata na Fulgence Novatus (kulia) na Amy Ninje (kushoto). Taifa Stars inatarajiwa kuondoka nchini Alhamisi.
Hugh Morris dead at 62: Ex-England cricketer and chief executive passes
away after battle with bowel cancer
-
Morris was diagnosed with the disease in 2022 and, despite initially
returning to work, left his role as Glamorgan chief executive in September
2023 to be ...
33 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment