Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa hawaamini macho yao baada ya kufungwa mabao 3-1 na Tottenham Hotspur katikaa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley. Mabao ya Spurs yamefungwa na Dele Alli mawili dakika za 27 na 55 na Christian Eriksen dakika ya 65 wakati la Real Madrid limefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keon Coleman Pick Excites Bills Fans After Deebo Samuel Trade Rumors amid
NFL Draft
-
It was no secret that the Buffalo Bills needed help at wide receiver this
offseason after parting ways with Stefon Diggs and Gabe Davis. With the
first pick…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment