Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa hawaamini macho yao baada ya kufungwa mabao 3-1 na Tottenham Hotspur katikaa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley. Mabao ya Spurs yamefungwa na Dele Alli mawili dakika za 27 na 55 na Christian Eriksen dakika ya 65 wakati la Real Madrid limefungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL fans smell a rat as Green Bay Packers' heaters cut out in 24-degree
weather vs Chicago Bears
-
Temperatures dropped down to 24 degrees as the game kicked off on Saturday
night, with winds quickly picking up in Chicago as the game progressed.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment